Mark 6:45-46

Yesu Atembea Juu Ya Maji

(Mathayo 14:22-33; Yohana 6:15-21)

45 aMara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda Bethsaida, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano. 46 bBaada ya kuwaaga wale watu, akaenda mlimani kuomba.

Copyright information for SwhNEN